Rapper wa kike kutoka Tanzania, Cindy Rulz, ametajwa kuwania tuzo za Underground Music Awards, UMA’s za Marekani.
Tuzo za UMA’s ni kubwa zaidi Marekani zinazolenga kuwatunza wasanii, waandishi wa nyimbo na watayarishaji wa muziki wanaojitegemea (wasio chini ya label) nchini Marekani.
Cindy Rulz ni msanii pekee wa Afrika aliyetajwa mwaka huu kuwania tuzo hizo kwenye kipengele cha ‘Best International Artist’ akichuana na Joe Young, Apollo na Escobar na Fil Straughan.
Wasanii waliowahi kushinda tuzo hizo ni pamoja MIMS, Nicky Minaj, Cory Gunz, J Cole, Freeway, Lil Mama, Killah Priest, Donny Goines, Esso, Stimuli, Torae, Serius Jones, Remy Ma, Styles P, Papoose, Saigon, Lumidee, Emilio Rojas, Fred The Godson na wengine.
Zoezi la kupiga kura limeanza jana August 10. Bonyeza hapa kumpigia kura Cindy Rulz.
Source: Bongo5
Cindy Rulz
Cindy Rulz ni msanii pekee wa Afrika aliyetajwa mwaka huu kuwania tuzo hizo kwenye kipengele cha ‘Best International Artist’ akichuana na Joe Young, Apollo na Escobar na Fil Straughan.
Wasanii waliowahi kushinda tuzo hizo ni pamoja MIMS, Nicky Minaj, Cory Gunz, J Cole, Freeway, Lil Mama, Killah Priest, Donny Goines, Esso, Stimuli, Torae, Serius Jones, Remy Ma, Styles P, Papoose, Saigon, Lumidee, Emilio Rojas, Fred The Godson na wengine.
Zoezi la kupiga kura limeanza jana August 10. Bonyeza hapa kumpigia kura Cindy Rulz.
Source: Bongo5
Post by KeeZy Platnums.