Kutokana na ukubwa wa wimbo huo, msanii mwingine wa Bongo Flava, Nash Designer alitoa Remix yake kwa maana alitumia Beat ya wimbo huo wa Davido na kuweka mashairi yake. Lakini niamini mimi hii aliyofanya Leo Mysterio (Uprising Recs) ni kali kuliko zoteee!
Download au sikiliza wimbo huo hapa: