Keezywear Editor Keezywear Editor Author
Title: Nay wa Mitego apanga kufanya kweli kwa Shamsa Ford
Author: Keezywear Editor
Rating 5 of 5 Des:
Baada ya minong’ono iliyo kuwa imezidi inayomuhusu msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa Bongo, Nay Wa Mitego kuhusiana na issue ya yeye kuw...
Baada ya minong’ono iliyo kuwa imezidi inayomuhusu msanii wa muziki wa kizazi kipya hapa Bongo, Nay Wa Mitego kuhusiana na issue ya yeye kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwigizaji wa filamu anaye julikana kama Shamsa Ford...

Juzi kwenye ‘Friday Night’ EATV, mkali huyo wa Akadumba amefunguka na kufafanua issue hiyo kuwa:

"Shamsa Ford kiukweli nampenda, ni rafiki yangu ambaye anaipenda familia yangu ndio maana hata wakati mwingine huwa anapost picha akiwa na mtoto wangu. Siwezi kusema kuwa nina mahusiano naye kimapenzi au sina  ila kwasababu watu wanataka iwe hivyo basi itabidi nikamilishe".

We unahisi drama au kweli? Mi sijui!

Author

Advertisement

 
Top