Mtalam III Mtalam III Author
Title: Diamond awa mmoja kati ya wasanii watakaotumbuza kwenye kilele cha Tuzo za MTV ‘MAMA’ 2015
Author: Mtalam III
Rating 5 of 5 Des:
MTV Base wametangaza tayari wasanii watakaotumbuiza kwenye MAMA 2015. Mapema kabisa alitangazwa Ne-Yo. Diamond kutoka Tanzania nae amepata...
MTV Base wametangaza tayari wasanii watakaotumbuiza kwenye MAMA 2015. Mapema kabisa alitangazwa Ne-Yo. Diamond kutoka Tanzania nae amepata nafasi ya kushare jukwaa moja na mkali huyo kutoka Marekani.

Wasanii wengine watakaotumbuiza ni hawa wafuatao kama walivyotangazwa na MTV Base Africa!

Tuzo hizo zitafanyika July 18, 2015.

Author

Advertisement

 
Top