Mitaani kuna habari zinazungumzwa kuwa video ya ‘Nana’ ya Diamond ni copy & paste ya video ya ‘Moyo Wangu’.
Mwenyewe amesema wakati anatoa wimbo wa Moyo Wangu hakuwa anajulikana sana kimataifa kama sasa hivi... na alichokifanya kwenye wimbo wake mpya wa Nana ni kuamua kuiboresha na kuiongezea ubunifu kwa kuchukua vitu vichache kwenye wimbo huo wa Moyo Wangu.
Author

Advertisement

Related Posts
- Unawajua wasanii hawa nane walioiweka Tanzania kwenye ramani ya kimataifa mwaka 2015?08 Sep 2015undefined
Imeandikwa na Fredrick Bundala wa Bongo5: Tupo kwenye robo ya tatu ya mwaka 2015, mengi ya...Read more »
- Wasanii sita wa TZ watajwa kuwania tuzo za Afrika za AFRIMMA, Diamond atajwa mara nyingi zaidi20 Jul 2015undefined
Majina ya wasanii watakaowania tuzo za African Muzik Magazine Awards AFRIMMA yametolewa jioni ya Ju...Read more »
- Diamond azungumzia mtoto wake na Zari, Collabo na Ludacris, Tuzo za MTV na mengine mengi15 Jul 2015undefined
Moja ya Watangazaji wenye majina makubwa East Africa ni Mtangazaji kutoka Citizen TV na Radio, Nairo...Read more »
- The Interview: Majibu ya Diamond kuhusu uchawi, ugomvi wake na AliKiba, collabo na Tuzo anazowania07 Jul 2015undefined
Diamond Platnumz alikuwa live kwenye XXL ya Clouds FM, kuna vingi kaviongea exclusive, nilipata nafa...Read more »
- Diamond ni balaa! Atajwa tena kuwania Tuzo hizi...05 Jul 2015undefined
Diamond Platnumz ameendelea kutajwa kuwania tuzo mbalimbali barani Afrika, akiwa ni miongoni mwa wan...Read more »
- Studios Zimetema: Nyimbo mpya za Bongo Flava zilizotoka wiki hii ‘27 Juni mpaka 03 Julai’04 Jul 2015undefined
As usual, every saturday unakutana tena na Studios Zimetema, kipengele ambacho kinakusanya nyimbo z...Read more »