Mchakato huo ambao mwenyewe anauita #NanaMediaTour sasa anaupeleka Lagos, Nigeria. Msanii wetu au Mtanzania mwenzetu anajituma kuiletea sifa nchi yetu... lets support him. Hizi hapa ni baadhi ya picha alizopiga akiwa Airport!
Diamond apanda pipa kuelekea Nigeria
Mchakato huo ambao mwenyewe anauita #NanaMediaTour sasa anaupeleka Lagos, Nigeria. Msanii wetu au Mtanzania mwenzetu anajituma kuiletea sifa nchi yetu... lets support him. Hizi hapa ni baadhi ya picha alizopiga akiwa Airport!