Ni wiki sasa tangu kusambaa kwa habari kwamba Chris Brown ana mtoto wa kike mwenye umri wa miezi tisa (9) sasa. Lakini mwenyewe bado hajazungumzia kuhusu taarifa hizo kama ni za kweli au not.
Mtoto aliyeripotiwa kuwa ni mtoto wa msanii Chris Brown na mwanamitindo Nia amekuwa chanzo cha kuachana kwa Chris na mpenzi wake Karrueche Tran. KT amesema hataki kujihusisha na kile anachokiita “Baby drama”.
Habari mpya kuhusu drama hii ni kwamba jina la mtoto huyu wa Nia ni “Royalty” na mpaka sasa haijajulikana kama jina amepewa na Nia au Chris Brown.
Nia na Mwanae (anayesemekana kuwa ni mtoto wa Chris Brown)
Mtoto aliyeripotiwa kuwa ni mtoto wa msanii Chris Brown na mwanamitindo Nia amekuwa chanzo cha kuachana kwa Chris na mpenzi wake Karrueche Tran. KT amesema hataki kujihusisha na kile anachokiita “Baby drama”.
Habari mpya kuhusu drama hii ni kwamba jina la mtoto huyu wa Nia ni “Royalty” na mpaka sasa haijajulikana kama jina amepewa na Nia au Chris Brown.