Wimbo huu nahisi umefanyika kwa Tudd Thomas na kumaliziwa huko Nigeria (am not sure). Ila kwa ujumla ni wimbo mzuri sana, tulitegemea Diamond hatotuangusha na hakutuangusha kweli. Mawazo kuhusu wimbo huu nitayadrop ijumaa hapa hapa ili Tujadili.
Download au Sikiliza Number One Remix hapa: